Biblia Habari Njema

2 Wakorintho 6:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Hekalu la Mungu lina uhusiano gani na sanamu za uongo? Maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu mwenyewe alivyosema:“Nitafanya makao yangu kwao,na kuishi kati yao.Nitakuwa Mungu wao,nao watakuwa watu wangu.”

2 Wakorintho 6

2 Wakorintho 6:9-18