Biblia Habari Njema

2 Wafalme 25:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika siku ya saba ya mwezi wa tano wa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babuloni, Nebuzaradani kapteni wa walinzi wa mfalme, aliingia Yerusalemu.

2 Wafalme 25

2 Wafalme 25:1-15