Biblia Habari Njema

2 Wafalme 25:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Nebukadneza wa Babuloni aliwapiga na kuwaua watu hao huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Hivyo watu wa Yuda walichukuliwa mateka nje ya nchi yao.

2 Wafalme 25

2 Wafalme 25:12-24