Biblia Habari Njema

2 Wafalme 23:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, akatawala kwa miezi mitatu huko Yerusalemu. Mama yake alikuwa Hamutali binti Yeremia wa Libna.

2 Wafalme 23

2 Wafalme 23:29-32