Biblia Habari Njema

2 Wafalme 23:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati wa kutawala kwake, Farao Neko wa Misri alikwenda mpaka mto Eufrate ili kukutana na mfalme wa Ashuru. Naye mfalme Yosia akaondoka ili kupambana naye; lakini Farao Neko alipomwona alimuua kule Megido.

2 Wafalme 23

2 Wafalme 23:22-33