Biblia Habari Njema

2 Wafalme 23:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika kila mji wa Samaria mfalme Yosia aliharibu mahali pa kuabudia miungu ya uongo palipojengwa na wafalme wa Israeli, ili kumkashifu Mwenyezi-Mungu. Madhabahu hayo yote aliyaharibu kama vile alivyofanya huko Betheli.

2 Wafalme 23

2 Wafalme 23:16-28