Biblia Habari Njema

2 Wafalme 23:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Alivunja nguzo katika vipandevipande; pia alikatakata sanamu za Ashera, na mahali zilipokuwa zinasimama alipajaza mifupa ya watu.

2 Wafalme 23

2 Wafalme 23:4-18