Biblia Habari Njema

2 Wafalme 21:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia alimtoa mwanawe kuwa sadaka ya kuteketezwa. Alipiga ramli; alibashiri akishirikiana na waaguzi wa mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Mwenyezi-Mungu, akamkasirisha.

2 Wafalme 21

2 Wafalme 21:2-8