Biblia Habari Njema

2 Wafalme 21:11 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa sababu mfalme amefanya mambo ya kuchukiza, mambo mabaya zaidi ya yale yaliyotendwa na Waamori waliomtangulia, amewafanya watu wa Yuda pia watende dhambi kwa kutumia sanamu zake;

2 Wafalme 21

2 Wafalme 21:1-12