Biblia Habari Njema

2 Wafalme 2:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Elisha alipoona tukio hilo akalia, “Baba yangu, baba yangu! Gari la Israeli na wapandafarasi wake!” Basi, Elisha hakumwona tena Elia.Ndipo Elisha alipoyashika mavazi yake na kuyararua vipande viwili.

2 Wafalme 2

2 Wafalme 2:11-19