Biblia Habari Njema

2 Wafalme 19:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja wakati Senakeribu alipokuwa akiabudu katika nyumba ya Nisroki mungu wake, wanawe wawili, Adrameleki na Sharezeri walimuua kwa upanga, halafu wakakimbilia nchini Ararati. Naye Esar-hadoni, mwanawe akatawala badala yake.

2 Wafalme 19

2 Wafalme 19:35-37