Biblia Habari Njema

2 Wafalme 17:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya Mwenyezi-Mungu kutenga watu wa Israeli kutoka ukoo wa Daudi, walimtawaza Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme. Naye Yeroboamu aliwafanya watu wa Israeli kumwacha Mwenyezi-Mungu na kutenda dhambi kubwa sana.

2 Wafalme 17

2 Wafalme 17:14-22