Biblia Habari Njema

2 Wafalme 16:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na hazina iliyokuwa katika nyumba ya mfalme na kumpelekea kama zawadi mfalme wa Ashuru.

2 Wafalme 16

2 Wafalme 16:1-12