Biblia Habari Njema

2 Wafalme 16:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Ahazi aliziondoa papi zilizokuwa zimesimamishwa huko, akaondoa birika lililoitwa bahari ambalo lilikuwa juu ya wale fahali kumi na wawili wa shaba na kuliweka juu ya msingi wa mawe.

2 Wafalme 16

2 Wafalme 16:7-20