Biblia Habari Njema

2 Wafalme 15:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa thelathini na nane wa enzi ya Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu alianza kutawala Israeli, akatawala kwa muda wa miezi sita.

2 Wafalme 15

2 Wafalme 15:1-13