Biblia Habari Njema

2 Wafalme 15:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwadhibu Azaria, akawa na ukoma mpaka alipokufa. Alikaa katika nyumba ya pekee na shughuli zake zote za utawala ziliendeshwa na mwanawe Yothamu.

2 Wafalme 15

2 Wafalme 15:2-10