Biblia Habari Njema

2 Wafalme 15:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa hamsini wa enzi ya mfalme Azaria wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu alianza kutawala Israeli, akatawala huko Samaria kwa muda wa miaka miwili.

2 Wafalme 15

2 Wafalme 15:15-29