Biblia Habari Njema

2 Wafalme 14:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa kumi na tano wa enzi ya Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala huko Samaria, akatawala kwa muda wa miaka arubaini na mmoja.

2 Wafalme 14

2 Wafalme 14:22-28