Biblia Habari Njema

2 Wafalme 14:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Matendo mengine yote ya Yehoashi, ushujaa wake na vita alivyopigana na mfalme Amazia wa Yuda yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Nyakati za Wafalme wa Israeli.

2 Wafalme 14

2 Wafalme 14:12-16