Biblia Habari Njema

2 Wafalme 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoahazi hakuwa na majeshi, ila tu wapandafarasi hamsini, magari kumi na askari wa miguu 10,000. Hii ilikuwa ni kwa sababu mfalme wa Aramu alikuwa ameyaangamiza majeshi ya Israeli na kuyakanyaga chini kama mavumbi.

2 Wafalme 13

2 Wafalme 13:2-11