Biblia Habari Njema

2 Wafalme 13:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Nabii Elisha aliugua ugonjwa mbaya sana. Alipokuwa karibu kufa, mfalme Yehoashi wa Israeli alimtembelea. Alipomfikia Elisha, alilia, akisema, “Baba yangu, baba yangu! Magari ya Israeli na wapandafarasi wake!”

2 Wafalme 13

2 Wafalme 13:13-21