Biblia Habari Njema

2 Wafalme 13:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Matendo mengine yote ya Yehoashi, ushujaa wake na vita alivyopigana na mfalme Amazia wa Yuda, yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Nyakati za Wafalme wa Israeli.

2 Wafalme 13

2 Wafalme 13:3-21