Biblia Habari Njema

2 Wafalme 13:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa thelathini na saba wa enzi ya mfalme Yoashi wa Yuda, Yehoashi mwanawe Yehoahazi, alianza kutawala Israeli huko Samaria, na enzi yake ikaendelea kwa miaka kumi na sita.

2 Wafalme 13

2 Wafalme 13:8-14