Biblia Habari Njema

2 Wafalme 12:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Fedha zilizotolewa kuwa sadaka za hatia na sadaka za kuondoa dhambi hazikuingizwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu; hizo zilikuwa ni mali ya makuhani.

2 Wafalme 12

2 Wafalme 12:14-21