Biblia Habari Njema

2 Wafalme 10:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara Yehu alipomaliza kutoa tambiko ya kuteketezwa, aliwaambia walinzi na maofisa, “Ingieni mkawaue wote. Msimwache hata mmoja atoroke!” Wakaingia na panga zao tayari na kuwaua wote, kisha wakatoa maiti zao nje. Ndipo wakaingia chumba cha ndani cha hekalu,

2 Wafalme 10

2 Wafalme 10:16-31