Biblia Habari Njema

2 Wafalme 10:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Waite manabii wote wa Baali, wafuasi wake wote na makuhani. Ni sharti kila mmoja afike, kwani nataka kumtolea Baali tambiko kubwa, na yeyote atakayekosa kufika atauawa.” Hiyo ilikuwa ni njama ya Yehu ili apate kuwaua wafuasi wa Baali.

2 Wafalme 10

2 Wafalme 10:11-21