Biblia Habari Njema

1 Wafalme 9:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara tatu kila mwaka, Solomoni alitoa tambiko za kuteketezwa na tambiko za amani juu ya madhabahu aliyokuwa amemjengea Mwenyezi-Mungu, akamfukizia Mwenyezi-Mungu ubani; pia alifanya marekebisho ya nyumba.

1 Wafalme 9

1 Wafalme 9:23-28