Biblia Habari Njema

1 Wafalme 8:66 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika siku ya nane, Solomoni aliwaaga watu; nao wakamtakia baraka mfalme, wakaenda kwao wakishangilia na kufurahi kwa sababu ya wema ambao Mwenyezi-Mungu aliuonesha kwa Daudi, mtumishi wake, na kwa watu wake Israeli

1 Wafalme 8

1 Wafalme 8:59-66