Biblia Habari Njema

1 Wafalme 6:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Solomoni alianza kujenga nyumba ya Mwenyezi-Mungu katika mwaka wa 480 baada ya Waisraeli kutoka Misri. Huo ulikuwa mwaka wa nne wa utawala wa Solomoni juu ya Israeli, katika mwezi wa Zifu, yaani mwezi wa pili.

1 Wafalme 6

1 Wafalme 6:1-10