Biblia Habari Njema

1 Wafalme 4:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu alimpa Solomoni hekima zaidi na akili kwa wingi; maarifa yake yalikuwa kama mchanga wa pwani, hayakuwa na kipimo.

1 Wafalme 4

1 Wafalme 4:21-33