Biblia Habari Njema

1 Wafalme 4:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Baana, mwana wa Ahiludi, alisimamia miji ya Taanaki, Megido, na sehemu yote ya Beth-sheani iliyo karibu na mji wa Zarethi, kusini ya mji wa Yezreeli, na kutoka Beth-sheani mpaka miji ya Abel-mehola, na hata kupita mji wa Yokmeamu.

1 Wafalme 4

1 Wafalme 4:4-16