Biblia Habari Njema

1 Wafalme 20:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mnamo adhuhuri, wakati Ben-hadadi na wale wafalme wenzake thelathini na wawili waliomwunga mkono walipokuwa mahemani mwao wakinywa na kulewa, mashambulizi yakaanza.

1 Wafalme 20

1 Wafalme 20:11-19