Biblia Habari Njema

1 Wafalme 2:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Solomoni akasema, “Fanya alivyosema; umuue na kumzika. Hivyo, mimi na wazawa wengine wote wa Daudi hatutalaumiwa kwa vitendo vya Yoabu vya kuwaua watu wasio na hatia.

1 Wafalme 2

1 Wafalme 2:22-32