Biblia Habari Njema

1 Wafalme 19:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Elisha akamwacha Elia, akairudia jozi yake ya ng'ombe, akawachinja ng'ombe hao na kuwapika akitumia miti ya nira kama kuni, akawapa watu, wakala. Kisha akaondoka, akamfuata Elia na kuwa mtumishi wake.

1 Wafalme 19

1 Wafalme 19:13-21