Biblia Habari Njema

1 Wafalme 18:46 Biblia Habari Njema (BHN)

Nguvu ya Mwenyezi-Mungu ikamjia Elia, naye akajifunga na kukaza joho lake, akakimbia na kumtangulia Ahabu kuingia mjini Yezreeli.

1 Wafalme 18

1 Wafalme 18:39-46