Biblia Habari Njema

1 Wafalme 18:4 Biblia Habari Njema (BHN)

na wakati Yezebeli alipowaua manabii wa Mwenyezi-Mungu, Obadia aliwachukua manabii 100, akawaficha hamsinihamsini pangoni, akawa anawapelekea chakula na maji).

1 Wafalme 18

1 Wafalme 18:1-8