Biblia Habari Njema

1 Wafalme 18:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Elia akawaambia watu, “Sogeeni karibu nami.” Wao wakamkaribia. Kisha Elia akaijenga upya madhabahu ya Mwenyezi-Mungu iliyokuwa imebomolewa.

1 Wafalme 18

1 Wafalme 18:27-37