Biblia Habari Njema

1 Wafalme 18:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Elia akawakaribia watu hao, akawaambia, “Mtasitasita na kuyumbayumba mioyoni mpaka lini? Ikiwa Mwenyezi-Mungu, ndiye Mungu mfuateni; lakini ikiwa Baali ni Mungu, basi, mfuateni yeye.” Lakini watu hawakumjibu neno lolote.

1 Wafalme 18

1 Wafalme 18:13-23