1. Ikawa baada ya siku nyingi, mnamo mwaka wa tatu wa ukame, neno hili la Mwenyezi-Mungu likamjia Elia: “Nenda ukajioneshe kwa mfalme Ahabu, halafu nitanyesha mvua nchini.”
2. Basi, Elia akaenda kujionesha kwa Ahabu.Wakati huo, njaa ilikuwa kali sana huko Samaria.