Biblia Habari Njema

1 Wafalme 16:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa thelathini na nane wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri, alianza kutawala Israeli. Alitawala huko Samaria kwa muda wa miaka ishirini na miwili.

1 Wafalme 16

1 Wafalme 16:25-34