Biblia Habari Njema

1 Wafalme 14:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena, kukawa na ibada za ukahaba nchini; watu walitenda matendo ya kuchukiza ya mataifa ambayo Mungu aliyafukuza Waisraeli walipokuwa wanaingia nchini Kanaani.

1 Wafalme 14

1 Wafalme 14:20-28