Biblia Habari Njema

1 Wafalme 13:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Yeroboamu aliposikia maneno hayo ya mtu wa Mungu dhidi ya madhabahu huko Betheli, alinyosha mkono akasema, “Mkamateni huyo!” Na mara huo mkono wake aliounyosha, ukakauka, asiweze tena kuukunja.

1 Wafalme 13

1 Wafalme 13:1-5