Biblia Habari Njema

1 Wafalme 13:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Nabii yule ambaye alikuwa amemkaribisha nyumbani kwake aliposikia habari hiyo, akasema, “Huyo ni yuleyule mtu wa Mungu aliyekataa kutii neno la Mwenyezi-Mungu! Mwenyezi-Mungu amemtuma simba, akamshambulia na kumwua kama alivyokuwa amemwambia.”

1 Wafalme 13

1 Wafalme 13:21-33