Biblia Habari Njema

1 Wafalme 12:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye Rehoboamu alitaka kujua maoni ya wazee ambao walikuwa washauri wa baba yake Solomoni, alipokuwa angali hai, akawauliza, “Je, mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”

1 Wafalme 12

1 Wafalme 12:1-10