Biblia Habari Njema

1 Wafalme 12:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo ya kumi na tano ya mwezi wa nane, aliibuni yeye mwenyewe, naye akaenda Betheli kutambikia. Ndivyo alivyoiimarisha sikukuu hiyo aliyoiweka kwa ajili ya watu wa Israeli, naye mwenyewe akapanda kuiendea madhabahu, kufukiza ubani.

1 Wafalme 12

1 Wafalme 12:24-33