Biblia Habari Njema

1 Wafalme 12:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, mfalme hakuwajali watu kwa sababu jambo hili lilisababishwa na Mwenyezi-Mungu, ili atimize neno lake alilomwambia Yeroboamu mwana wa Nebati, kwa njia ya Ahiya wa Shilo.

1 Wafalme 12

1 Wafalme 12:12-17